Evergreen Choir Ministries

About the choirs

The first choir was founded by Mr. James Kihara and family when the church started. Currently, there are several choirs including: English, Kiswahili, Worship Team, Boys Choir, Men's Choir, Youth band and the Beulah choir
Officials
Patron - Elder Joyce Karumba
Chairperson - Anne Muhindi
Vice-Chairperson - Njoroge Kinuthia
Secretary - Alice Wambu
Treasurer - Wahu Gakunju
Vice-Secretary - Kessy Mwangi
{Co-opted members} - Triza Gakenia
Membership
Membershp is open to all members who wish to volunteer. Meetings are held on Tuesday 6.pm for English Choir, Worship Team - Tuesday, 7.30.pm and Sunday after service for Kiswahili choir
Activities
  • Country Music Day, Kikuyu Classics, Christmas Carols, Easter songs
  • Retreats for Training once a year
  • Fellowship with the needy and visitation of members during bereavement
  • The choir also has a music CD available for sale
  • Outreach and visitation of other parishes and churches

img The Evergreen choir during a service

The Kiswahili Choir
Kwaya ya Kiswahili ya Kanisa la PCEA Evergreen ni huduma ya uimbaji wa kumtukuza na kuabudu Mungu kwa nyimbo za Kiswahili. Kwaya hii ilianza mwaka wa 2007 ikiwa na waimbaji wachache na imeongezeka hadi waimbaji 31 mwaka huu wa 2018. Kwaya yote linajumuisha waimbaji 30 wakingozwa na Mwalimau wa Kwaya Bw. Augustine Nyakiba na Mchezaji wa kinanda Bw. Zawadi. Kwaya hii imeanza kuimarika kwa utumizi wa sauti na mpangilio wa uimbaji. Tunatarajia kueneza injili kwa wimbo ili kufikia watu wengi kanisani na nje ya Kanisa. Kwaya hii linamarishwa kawa kuwa linadumisha washirika wa aina nyingi na wote wakiwa na mwito kuu wa kumuimbia Bwana Mungu saa yote. Malengo yetu ni kuimarisha huduma ya kutukusa na kuabudu Mungu kwa kiwango ya juu saidi na kubolesha ushirika wa wakristo na kuinua nyoyo za washirika kwa suati and wimbo. Mpango wa kimkakati kwa wakati ujao ni kundelaa mbele kwa umbaji na ongezeko la washirika. Kamati ya kwaya wakati huu inaongozwa na Bw. Daniel Kahiga, James Kanyi akiwa Mweka Hazina. Esther Njambi akiwa katibu na Pauline Wangui akiwa mwanachama. Utukufu na Sifa ziwe zake Bwana wa Mabwana milele na milele

img Members of the Kiswahili Choir